Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linawatahadharisha wananchi kutothubutu kuvuka kwenye madaraja au makaravati yaliyofunikwa na maji kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa kusombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Related Posts
Wabunge wanne wa chadema wafukuzwa uanachama
“Kamati Kuu CHADEMA imeazimia Wabunge Anthony Komu na Joseph Selasini pamoja na kuwa wamejipotezea sifa ya uanachama wa CHADEMA, wameendelea…
Polisi mererani ktk kashfa, wadaiwa kugawana mali za mtuhumiwa, ni mjane aliyebambikiziwa kesi ya wizi
Askari Polisi katika kituo Cha Polisi Mererani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wamelalamikiwa Kwa kupoteza Mali za mshtakiwa wakidaiwa kugawana katika…
Mahakama yatupilia mbali kesi ya mbunge rweikiza madai ya sh bil. 1 na mil 216 kudhalilishwa na kiongozi wa ccm
Mdaiwa Mjumbe wa halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mkoa wa Kagera Novatus Nkwama (mwenye suti katikati) akiwa nje…