Na Ahmed Mahmoud,Arusha
NAIBU Waziri wa
Madini Ladslausi Nyongo amepiga marufuku tabia ya kamatakamata ya
wafanyabiashara wa madini nchini waliohifadhi madini maeneo
wanayotaka kwa mujibu wa sheria.
Madini Ladslausi Nyongo amepiga marufuku tabia ya kamatakamata ya
wafanyabiashara wa madini nchini waliohifadhi madini maeneo
wanayotaka kwa mujibu wa sheria.
Aidha katika
kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019 Mkoa wa Arusha umekusanya zaidi ya
Sh.bilioni 30 zinazotokana na madini ya Vito ya aina mbalimbali.
kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019 Mkoa wa Arusha umekusanya zaidi ya
Sh.bilioni 30 zinazotokana na madini ya Vito ya aina mbalimbali.
Akizungumza
jana Jijini Arusha wakati akifungua mkutano wa Mabalozi wa China nchini
Tanzania na Tanzania nchini China pamoja na wafanyabiashara wa madini
nchini,Naibu Waziri Nyongo alisema sheria inaruhusu wafanyabiashara
kukaa na madini ili mradi wafuate sheria.
jana Jijini Arusha wakati akifungua mkutano wa Mabalozi wa China nchini
Tanzania na Tanzania nchini China pamoja na wafanyabiashara wa madini
nchini,Naibu Waziri Nyongo alisema sheria inaruhusu wafanyabiashara
kukaa na madini ili mradi wafuate sheria.
“Lakini
siku za karibuni kumezuka tabia ya kusumbua wafanyabiashara waliofuata
sheria za kukaa na madini kwa kulipa kodi zote wanazotakiwa ili wakauze
mahali popote wanapotaka,lakini wanasumbuliwa kwa kukamatwa na vyombo
vya ulinzi,”alisema.
siku za karibuni kumezuka tabia ya kusumbua wafanyabiashara waliofuata
sheria za kukaa na madini kwa kulipa kodi zote wanazotakiwa ili wakauze
mahali popote wanapotaka,lakini wanasumbuliwa kwa kukamatwa na vyombo
vya ulinzi,”alisema.
Alisema ili kuondoa
mkanganyiko huo Wizara imejipanga kuelemisha wadau wa madini vikiwemo
vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu sheria za madini ikiwemo inayoruhusu
wafanyabiashara hao kushikilia madini kabla ya kuuza kwenye soko za
madini zilizopo.
mkanganyiko huo Wizara imejipanga kuelemisha wadau wa madini vikiwemo
vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu sheria za madini ikiwemo inayoruhusu
wafanyabiashara hao kushikilia madini kabla ya kuuza kwenye soko za
madini zilizopo.
Aidha aliomba Mabalozi wa
China nchini Tanzania na yule wa Tanzania nchini China kuja kuwekeza
nchini kwenye uwekezaji wa uongezaji thamani masini chini ya Gramu mbili
ambayo yanaruhusiwa kwenda nje ya nchi bila kuonhezwa thamani.
China nchini Tanzania na yule wa Tanzania nchini China kuja kuwekeza
nchini kwenye uwekezaji wa uongezaji thamani masini chini ya Gramu mbili
ambayo yanaruhusiwa kwenda nje ya nchi bila kuonhezwa thamani.
“Kama mnateknolojia ya kuongeza thamani madini haya tunawaalika mje kuwekeza ili tusiyatoe nje bila kuongeza thamani,”alisema.
Mkuu
wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo alisema wameleta mkutano huo ili kuongeza
fursa kwa wafanyabiashara katika kupanua wigo wa soko la madini.
wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo alisema wameleta mkutano huo ili kuongeza
fursa kwa wafanyabiashara katika kupanua wigo wa soko la madini.
Alisema
nchi ya Tanzania ina madini mengi lakini mchango wake kwa pato la Taifa
ni asilimia 5.07 tofauti na pato la sekta ya utalii asilimia 17 na
asilimia 25 katika kuingizia Taifa fedha za kigeni.
nchi ya Tanzania ina madini mengi lakini mchango wake kwa pato la Taifa
ni asilimia 5.07 tofauti na pato la sekta ya utalii asilimia 17 na
asilimia 25 katika kuingizia Taifa fedha za kigeni.
“Mchango
huu hautoshi hivyo tumeamua kutumia mkutano huu ili tuongeze fursa
katika madini na kukuza zaidi pato la sekta hii,”alisema.
huu hautoshi hivyo tumeamua kutumia mkutano huu ili tuongeze fursa
katika madini na kukuza zaidi pato la sekta hii,”alisema.
Kuhusu
ukusanyaji wa madini alisema yanatokana na soko la madini Namanga
kukusanya Sh.bilioni 1.7 ya madini ya vito na soko la Arusha
walikusanya Sh.bilioni 34.46 katika kipindi cha Juni 2019 hadi Desemba
2019.
ukusanyaji wa madini alisema yanatokana na soko la madini Namanga
kukusanya Sh.bilioni 1.7 ya madini ya vito na soko la Arusha
walikusanya Sh.bilioni 34.46 katika kipindi cha Juni 2019 hadi Desemba
2019.
Mwenyekiti wa Tume ya Madini Prof.Idrisa
Kikula aliomba Ofisa Madini Mkazi wa Mikoa yote kukaa pamoja na vyombo
vya ulinzi na usalama kuelimishana sheria za madini ili wafahamu jinsi
ya kudhibiti utoroshaji wa madini.
Kikula aliomba Ofisa Madini Mkazi wa Mikoa yote kukaa pamoja na vyombo
vya ulinzi na usalama kuelimishana sheria za madini ili wafahamu jinsi
ya kudhibiti utoroshaji wa madini.
Balozi wa
Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki aliomba wafanyabiashara kutumia
fursa ya mkutano huo kuongeza mapato ya madini kutoka Sh.bilioni 500 ya
sasa hadi kufikia Sh.Trioni moja.
Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki aliomba wafanyabiashara kutumia
fursa ya mkutano huo kuongeza mapato ya madini kutoka Sh.bilioni 500 ya
sasa hadi kufikia Sh.Trioni moja.
“China
wanunuzi wakubwa wa dhahabu kama mwaka jana 2019 walinunua dhahabu tani
1506 hiki sio kiwango kidogo na hata madini mengine wananunua sana
hivyo tujitahidi kuongeza fursa za soko nchini China,”alisema.
wanunuzi wakubwa wa dhahabu kama mwaka jana 2019 walinunua dhahabu tani
1506 hiki sio kiwango kidogo na hata madini mengine wananunua sana
hivyo tujitahidi kuongeza fursa za soko nchini China,”alisema.