Habari Picha : muonekano wa uwanja wa majengo, moshi baada ya ibada ya mtume mwamposa kukanyaga mafuta ya upako Mwandishi Wetu3 February 2020 Muonekano wa Uwanja wa Majengo, Moshi baada ya ibada ya jana iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa kugeuka vilio baada ya watu 20 kufariki dunia walipokanyagana wakipita kwenye ‘mafuta ya upako’. Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Mbunge halima mdee ashikiliwa na polisi , kufikishwa mahakamani jumatatu Mbunge wa Kawe Halima Mdee anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Oysterbay, kufuatia agizo la Mahakama ya Kisutu la kukamatwa…
Wazazi na walimu wajengeeni watoto uwezo wa kuziishi ndoto zao ;Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Afrika Daniel Urioh.Picha na Vero Ignatus. Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika mafunzo ya…
Vilio na huzuni vyatawala mgodi wa dhahabu imalanguza geita Na Issa Mtuwa “WM” – Geita Majonzi na huzuni vimetawala kwenye mgodi wa wachimbaji wadogo wa Imalanguza wilaya ya Geita…