Anayezungumza ni Katibu Mtendaji kutoka Baraza la Ushauri la Watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania (TCRA CCC )Mary Shao Msuya,kulia kwake ni Mhandisi mwandamizi TCRA Jan Kaaya ,akifuatiwa na mjumbe wa Baraza
Mmoja
wa wanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi na uoni hafifu kutoka Chuo cha
Ualimu Patandi akiuliza swali kwa Baraza la Usahauri la watumiaji wa
huduma za mawasiliano Tanzania
wa wanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi na uoni hafifu kutoka Chuo cha
Ualimu Patandi akiuliza swali kwa Baraza la Usahauri la watumiaji wa
huduma za mawasiliano Tanzania
Baadhi
ya wanafunzi wa Chuo cha ualimu Patandi waliojikusanya kwaajili ya
kupatiwa elimu juu ya matumizi sahihi ya huduma ya mawasiliano na
mitandaoya kijamii kutoka TCRA CCC
ya wanafunzi wa Chuo cha ualimu Patandi waliojikusanya kwaajili ya
kupatiwa elimu juu ya matumizi sahihi ya huduma ya mawasiliano na
mitandaoya kijamii kutoka TCRA CCC
Kutoka
kushoto ni Mhandisi Mwandamizi TCRA Jan Kaaya akifuatiwa na Katibu
Matendaji kutoka TCRA CCC wakiwa Chuo cha Ualimu Patandi .
kushoto ni Mhandisi Mwandamizi TCRA Jan Kaaya akifuatiwa na Katibu
Matendaji kutoka TCRA CCC wakiwa Chuo cha Ualimu Patandi .
Na.Vero Ignatus,Arusha
Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma Mawasiliano Tanzania TCRA CCC limepokea
maoni pamoja na changamoto za kutoka kwa walimu na wanafunzi wenye
mahitaji maalum katika chuo cha Ualimu cha Patandi kilichopo mkoani
Arusha na kuahidi kuyatendea kazi
maoni pamoja na changamoto za kutoka kwa walimu na wanafunzi wenye
mahitaji maalum katika chuo cha Ualimu cha Patandi kilichopo mkoani
Arusha na kuahidi kuyatendea kazi
Akizungumza
mara baada ya baraza hilo kutembelea chuoni hapo na kutoa elimu ya
matumizi sahihi ya mawasiliano na mitandao ya kijamii Katibu mtendaji
baraza hilo Mary Shao Msuya alisema kuwa ni zoezi endelevu kwaajili ya kutoa elimu kuhusiana na matumizi sahihi ya huduma za mawasiliano nchini.
mara baada ya baraza hilo kutembelea chuoni hapo na kutoa elimu ya
matumizi sahihi ya mawasiliano na mitandao ya kijamii Katibu mtendaji
baraza hilo Mary Shao Msuya alisema kuwa ni zoezi endelevu kwaajili ya kutoa elimu kuhusiana na matumizi sahihi ya huduma za mawasiliano nchini.
Amesema
kuwa baadhi ya changamoto nyingine wamezijibu hapohapo ila nyingine
wamezichukua na kuondoka nazo ili kuona namna gani wataweza kuboresha
huduma hizo za mawasiliano ili kila mtu aweze kuzitumia kwa manufaa na
makusudiao halali anayotaka kuyafanya
kuwa baadhi ya changamoto nyingine wamezijibu hapohapo ila nyingine
wamezichukua na kuondoka nazo ili kuona namna gani wataweza kuboresha
huduma hizo za mawasiliano ili kila mtu aweze kuzitumia kwa manufaa na
makusudiao halali anayotaka kuyafanya
‘’Tumshauriana
nao na tumepokea maoni kutoka kwao pamoja na changamoto mbalimbali za
huduma ya mawasiliano tumebadilishana mawazo walikuwa na maswali mengi
mengine tumeyajibu,mengine tunaenda kuyatendea kazi alisema Shao’’
nao na tumepokea maoni kutoka kwao pamoja na changamoto mbalimbali za
huduma ya mawasiliano tumebadilishana mawazo walikuwa na maswali mengi
mengine tumeyajibu,mengine tunaenda kuyatendea kazi alisema Shao’’
Shao
aliwakumbusha watumiaji wa huduma hizo za mawasiliano kuanza kujilinda
wao wenyewe kwanza na kuwa makini na watumiaji wengine ambao siyo
waaminifu ambao wanatumia uhalifu kama fursa kupitia mitandao hiyo
kutokuwa wepesi wa kujibu jumbe wanaz otumiwa na watu ambao hawawafahamu
aliwakumbusha watumiaji wa huduma hizo za mawasiliano kuanza kujilinda
wao wenyewe kwanza na kuwa makini na watumiaji wengine ambao siyo
waaminifu ambao wanatumia uhalifu kama fursa kupitia mitandao hiyo
kutokuwa wepesi wa kujibu jumbe wanaz otumiwa na watu ambao hawawafahamu
Kwa umoja wao baadhi ya wanavyuo wenye ulemavu walioshiriki na kupata elimu hiyo wameipongeza TCRA CCC Kwa
kuwatahamini na kuona umuhimu wao na kuwatembelea chuoni hapo
wamewaomba wasichoke bali pale kutakapokuwa na madadiliko yeyote katika
huduma ya mawasiliano wawatembelee na kuwaelimisha Zaidi.
kuwatahamini na kuona umuhimu wao na kuwatembelea chuoni hapo
wamewaomba wasichoke bali pale kutakapokuwa na madadiliko yeyote katika
huduma ya mawasiliano wawatembelee na kuwaelimisha Zaidi.
Kwa upande wake Mtoa Elimu kutoka TCRA CCC Hillary Tesha alisema
kuwa mtumiaji wa bidhaa au huduma za mawasiliano anaweza kuwasilisha
malalamiko kwa muuzaji au mtoa huduma ambapo mtoa huduma atatakiwa
kushughulikia na kujibu kwa mlalamikaji hatua zilizochukuliwa ndani ya
siku thelathini (30)
kuwa mtumiaji wa bidhaa au huduma za mawasiliano anaweza kuwasilisha
malalamiko kwa muuzaji au mtoa huduma ambapo mtoa huduma atatakiwa
kushughulikia na kujibu kwa mlalamikaji hatua zilizochukuliwa ndani ya
siku thelathini (30)
Alisema
endapo kama mtumiaji hakuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na mtoa
huduma au bidhaa mlalamikaji anaweza kupeleka malalamiko yake kwa
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)
endapo kama mtumiaji hakuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na mtoa
huduma au bidhaa mlalamikaji anaweza kupeleka malalamiko yake kwa
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)