Waandishi arusha, wakili msando wachukua fomu kugombea ubunge kupitia ccm

Pamela Mollel akikabidhiwa fomu ya kuwania ubunge jimbo la Arusha 

Pamela Mollel akionyesha fomu aliyokabidhiwa
Pamela Mollel akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za CCM Wilaya ya Arusha
Mwanahabari Woinde Shizza akipokea fomu kuwania nafasi ya uongozi ndani ya CCM 
Wakili Albert Msando akionyesha fomu aliyokabidhiwa tayari kuingia kwenye mchakato wa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Arusha Mjini