Mkuu wa Wilaya ya Monduli Jowika Kasunga akiwa amenyaua nembo ya chama cha waandishi wa habari APC muda mfupi baada ya kuizindua. Mkuu huyo wa wilaya alifungua mkutano mkuu wa chama hicho katika eneo la Mto wa mbu wilayani Monduli na baadae kuzindua nembo hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa APC Claud Gwandu. anaecheka kulia ni Katibu wa APC, Eliya Mbonea
Related Posts
Magazeti ya leo jumamosi 19 novemba 2022
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Halmashauri ya mji njombe hati hati kupandishwa hadhi kuwa manispaa
NJOMBE Wakati serikali ikiwa katika hatua za mwisho za kupandisha hadhi Halmashauri ya mji wa Njombe kuwa Manispaa ,madiwani wa…
Jukwaa la sera: mwarobaini wa ukatili wa kingono nchini.
Na Zulfa Mfinanga, Moshi. Jukwaa la Sera limekutana leo mjini Moshi kwa lengo la kuangalia sera na sheria zinazokwamisha vita…