Mkuu wa Wilaya ya Monduli Jowika Kasunga akiwa amenyaua nembo ya chama cha waandishi wa habari APC muda mfupi baada ya kuizindua. Mkuu huyo wa wilaya alifungua mkutano mkuu wa chama hicho katika eneo la Mto wa mbu wilayani Monduli na baadae kuzindua nembo hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa APC Claud Gwandu. anaecheka kulia ni Katibu wa APC, Eliya Mbonea
Related Posts
Rc katavi aagiza wanafunzi wote kupokelewa shuleni bila kikwazo, ni kutokana na mazingira ya baadhi ya familia
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Katavi Beda Katani (wa kwanza kulia),Mkuu…
Rais samia acharuka upigaji serikalini, magazeti ya leo alhamisi 30 machi2023
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Waziri ummy: tegemeeni makubwa ujenzi wa barabara za vijijini
Na. Angela Msimbira Mwanga Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Ummy…