Wachezaji wa Uholanzi wakipongezan baada ya ushindi mzuri wa ugenini wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Volkspark mjini Hamburg katika mchezo wa Kundi C kufuzu Euro ya mwakani. Mabao ya Uholanzi yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 59, Jonathan Tah aliyejifunga dakika ya 66, Donyell Malen dakika ya 79 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei, wakati ya Ujerumani yalifungwa na Serge Gnabry dakika ya tisa na Toni Kroos
Related Posts
Magazeti ya leo jumatano 27septemba2023
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Serikali yaombwa kuendelea kurasimisha ardhi
Mkazi wa Arusha akipatiwa msaada wa kisheria, ikiwa ni moja ya shughuli za wiki nzima zinazoendelea jijini Arusha katika maadhimisho…
Magazeti ya leo jumamosi11 februari 2023
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha