Matukio katika picha wakati wa bunge la kupitisha bajeti ya wizara ya maliasili na utalii kwa mwaka 2021/2022

 
Naibu Waziri wa Maliasili na
Utalii, Mhe. Mary Masanja akiwa katika picha mbalimbali za pamoja na
Wabunge, Mwenyekiti wa UWT, Bi. Helen Bogohe ambaye aliwaongoza
Wenyeviti na Makatibu wa Wilaya wa umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
wanaotokea mkoani Mwanza mara baada ya uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara
ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2021/2022 katika Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma