Mkwaju wa penalti uliopigwa na Paul Pogba ukienda juu baada ya kuokolewa na kipa Rui Patricio dakika ya 68 Manchester United ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Uwanja wa Molineux, West Midlands. Penalti hiyo ilitolewa baada ya yeye mwenyewe, Pogba kuangushwa na Conor Coady kwenye boksi katika mchezo ambao Man United walitangulia kwa bao la A. Martial dakika ya 27 kabla ya Ruben Neves kuisawazishia Wolves dakika ya 55
Related Posts
Magazeti ya leo jumanne 16 agosti 2022
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Serikali kusaidia wakulima kufikia ili malengo yao
Na Rhoda Simba, Dodoma. SERIKALI imesema kuwa ipo tayari kuunga mkono na kutoa kila aina ya msaada unaohitajika ili kuhakikisha…
Waomba serikali kudhibiti biashara ya ngono
Na Mapuli Misalaba, Shinyanga Uongozi wa serikali ya mtaa wa Jomu Kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga umeiomba serikali ya…