Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania ( TANROADS) Eng. Rogatus Mativila akipata maelezo kutoka kwa Wataalamu wa TANROADS alipotembelea banda la Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi mapema Leo Jumatatu Novemba 22, 2021 katika maandalizi ya Wiki ya “Nenda kwa Usalama Barabarani ‘ ambapo TANROADS inashiriki kuanzia Novemba 23 hadi Novemba 27, 2021 katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha .
Related Posts
Magazeti ya leo jumanne 8 novemba 2022, mvuvi shujaa alamba ajira jeshini
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Wafungwa miaka 20 baada ya kunaswa wakiuza kaka kuona, dereva wao hukumu novemba 30
Na Mwandishi wetu,Arusha Wakati wakazi wawili wa wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara,Yusuph Athuman(40) na Faisal Abdi (41) wakihukumiwa kifungo…
Rais dkt magufuli amteua kusaya
Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha