Spika wa bunge, mhe. job ndugai akutana na balozi wa rwanda nchini tanzania

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu, Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai (hayupo kwenye picha) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akifurahia jambo na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu, Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai (hayupo kwenye picha) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.