Mahakama ya afrika wamlilia jaji augustino ramadhani, alikuwa rais wa kwanza mtanzania wa mahakama hiyo

Jaji Mstaafu na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadamu Jaji Augustino Ramadhani enzi za Uhai wake
Msajili wa Mahakama ya Afrika ya Watu na Haki za Binaadamu Dr Robert Eno akisaini kitabu cha maomboleo katika viwanja vya mahakama hiyo jijini Arusha

Jaji Blaise Tchikaya wa Mahakama ya Afrika ya watu na haki za binaadamu akisaini kitabu cha maombolezo katika viwanja vya Mahakama hiyo Jijini Arusha

AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES’ RIGHTS

COUR AFRICAINE DES
DROITS DE L’HOMME ET DES PEUPLES
P.O Box 6274 Arusha, Tanzania Telephone: +255 27
2970430
PRESS
RELEASE

AFRICAN
COURT CONVEYS CONDOLENCES OVER PASSING ON OF JUSTICE AUGUSTINO RAMADHANI
Arusha, 29 April, 2020: It is with the deepest sorrow that we have learnt
of the death of Hon Justice Augustino S.L. Ramadhani, who served as the Judge
of the African Court from 2010-2016 and as the President of the Court from
2014-2016.
He will be fondly remembered for his devotion for furthering the
ideals and objectives of the African Court.
‘’He was an exemplary leader and unshaken in his pursuit of
justice and protection of human rights on our Continent,’’ remarked President
Sylvain Oré.
He was consistent and mentored many Judges and Staff. ‘’He foresaw
good in everybody… he was like a father, big brother and above all a man of
good faith and vision,’’ President Oré added.
The African Court conveys its condolences to the family of the
late Ramadhani, people of Tanzania and the entire Judiciary of Tanzania and
beyond.