Mkurugenzi Mkuu wa LATRA Bw.Gilliard Ngewe (Katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo katika ofisi za Mamlaka hiyo Jijini Dar es Salaam.Kulia kwake ni Afisa Habari Mwandamizi LATRA Bw.Salum Pazzy na kushoto ni Meneja Mradi wa Tiketi Mtandao LATRA.
Related Posts
Dkt. abbasi: serikali imeweka mifumo ya kisheria na kitaasisi kwa maendeleo endelevu ya watanzania
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO SERIKALI imesema imeweka mifumo imara ya kitaasisi na kisheria inayohakikiwa kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na…
Serikali yaagiza hospitali zote nchini kuanzisha mfuko wa fedha za dawa.
Na Rayson Mwaisemba, WAMJW- MWANZA Serikali kupitia Wizara ya Afya imeagiza Waganga Wakuu wa Vituo vya Afya na Hospitali zote…
Picha : wake wa viongozi tanzania wakabidhi madarasa,vyoo shule ya buhangija jumuishi shinyanga
Umoja wa wake wa viongozi nchini Tanzania ‘Ladies of New Millenium Women Group’ umekabidhi madarasa manne yenye thamani ya shilingi…