Waandishi wa habari 72 watangazwa kujiunga rujat ( majina ya waandishi wa habari za vijijini tanzania mapuli misalaba yumo )

Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini Tanzania (RUJAT) katika kikao chake kilichofanyika mjini Morogoro, Novemba 22, 2023, kwa mamlaka kiliyopewa na Mkutano Mkuu wa RUJAT, pamoja na mambo mengine kimejadili maombi 77 ya uanachama na kupitisha waombaji 72 kuwa wanachama wapya.

 Hatua hii imeongeza idadi ya wanachama kufikia 109

RUJAT inawakaribisha tuungane katika kujenga tasnia ya habari inayojali maslahi ya jamii vijijini. 
Majina ya wanachama wapya ni haya yafuatayo: