Habari Mkuu wa mkoa wa shinyanga mpya anamringi macha akabidhiwa ofisi rasmi Mwandishi Wetu18 March 202424 June 2024 Naibu katibu mkuu, ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Christina Mndeme akikabidhi nyaraka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha.Picha na Mapuli Kitina MisalabaMkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude, baada ya Mhe. Macha kuwasili Mkoani Shinyanga leo Marchi 18,2024. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha akipokelewa na mjumbe wa Halmashauri mkuu ya Taifa CCM (NEC) Gasper Kileo baada ya kuwasili Mkoani Shinyanga. Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Bi. Odilia Batimayo upande wa kulia akimpokea Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha baada ya kuwasili Mkoani Shinyanga kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Shinyanga mpya amewasili leo March 18,2024 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Shinyanga mpya amewasili leo March 18,2024 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Shinyanga mpya amewasili leo March 18,2024 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Shinyanga mpya amewasili leo March 18,2024 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. Naibu katibu mkuu, ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Christina Mndeme akikabidhi nyaraka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha. Naibu katibu mkuu, ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Christina Mndeme akikabidhi nyaraka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha. Naibu katibu mkuu, ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Christina Mndeme akikabidhi nyaraka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha. Barua pepe Nimeafiki sera ya faragha
Uelewa mdogo wa jamii wasababisha ugumu wa utendaji wa taasisi binafsi Mkurugenzi wa Me and Orphan Tanzania Musa Mofuga akimkabidhi mgeni rasmi Mhandisi David Mtunguja Cheti Cha kumtambua katika hafla…
Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya kishapu limejadili na kupitisha mapendekezo ya bajeti ya halmashauri hiyo na tarura kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mhe. William Jijimya akizungumza kwenye Baraza hilo leo Februari 20,2024. Na Mapuli Kitina…
Serikali yawataka madiwani kutoa majina ya mitaa Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akitoa maelekezo kwa Mhandisi wa Vodacom, Michael Mjatta (wa kwanza kushoto)…